
WAZO BORA LA UTUNZAJI MAZINGIRA
Deadline: March 17, 2026
About this opportunity
TAASISI YA UZALENDO NA VIJANA TANZANIA (TAUVITA) imeandaa program maalum ya shindano la “Wazo Bora” kwa vijana wote wa Kitanzania kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, ili kuwasilisha mawazo bunifu yatakayolenga kuuenzi Muungano wa Tanzania pamoja na kuhimiza utunzaji wa mazingira. 🌿🇹🇿 Hii ni fursa kwa vijana kuonyesha ubunifu wao na kuchangia mawazo yatakayosaidia kujenga taifa lenye umoja na mazingira salama kwa vizazi vijavyo. 👉 Wasilisha wazo lako sasa kupitia link iliyopo kwenye Bio hapo juu.
Official link:docs.google.com
9 views
Share
More Competitions

TRA INNOVATION CHALLENGE
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakaribisha Watanzania wote kushiriki katika msimu wa pili wa mashindano ya mawazo bunifu yatakayosaidia kuboresha huduma na mifumo ya kodi nchini. 💡 Tuma wazo lako kupitia tovuti ya TRA kwenye kipengele cha Innovation kabla ya Julai 31, 2026. 🏆 Zawadi: • Mawazo 1,000 yatakayofika hatua ya tathmini yatapata TZS 100,000 kila moja • Mshindi wa kwanza atajishindia hadi TZS 50 Milioni • Washindi wengine watapata zawadi kuanzia TZS 10 Milioni hadi 30 Milioni Jumla ya washindi 1,020 watanufaika na mpango huu unaolenga kuibua ubunifu wa kuboresha mfumo wa kodi Tanzania

START UP PITCH COMPETITION
Youth Innovation Foundation, in collaboration with the Global Fintech Council and Startup World Cup, invites startups and innovators to showcase their ideas before investors and industry leaders. 🔥 Why participate? ✅ Pitch your innovation to investors ✅ Gain international exposure ✅ Expand your network ✅ Accelerate your startup growth 📅 21st August 2026 📍 JNICC, Dar es Salaam

COSTECH
Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU)
The Ministry of Education, Science and Technology (MoEST) through the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) is supporting Tanzanian innovators to develop their innovative products to reach a stage of proven products for commercialization. The support is provided by conducting the national innovation competition known as "Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU)".