← Back to Opportunities
WAZO BORA LA UTUNZAJI MAZINGIRA
Competitions FeaturedExpired

WAZO BORA LA UTUNZAJI MAZINGIRA

Deadline: March 17, 2026

About this opportunity

TAASISI YA UZALENDO NA VIJANA TANZANIA (TAUVITA) imeandaa program maalum ya shindano la “Wazo Bora” kwa vijana wote wa Kitanzania kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, ili kuwasilisha mawazo bunifu yatakayolenga kuuenzi Muungano wa Tanzania pamoja na kuhimiza utunzaji wa mazingira. 🌿🇹🇿 Hii ni fursa kwa vijana kuonyesha ubunifu wao na kuchangia mawazo yatakayosaidia kujenga taifa lenye umoja na mazingira salama kwa vizazi vijavyo. 👉 Wasilisha wazo lako sasa kupitia link iliyopo kwenye Bio hapo juu.

Official link:docs.google.com

9 views

Share:WhatsAppTwitter/X

Share