← Back to Opportunities
TRA INNOVATION CHALLENGE
Competitions Featured Closes soon

TRA INNOVATION CHALLENGE

Deadline: July 30, 2026

About this opportunity

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakaribisha Watanzania wote kushiriki katika msimu wa pili wa mashindano ya mawazo bunifu yatakayosaidia kuboresha huduma na mifumo ya kodi nchini. 💡 Tuma wazo lako kupitia tovuti ya TRA kwenye kipengele cha Innovation kabla ya Julai 31, 2026. 🏆 Zawadi: • Mawazo 1,000 yatakayofika hatua ya tathmini yatapata TZS 100,000 kila moja • Mshindi wa kwanza atajishindia hadi TZS 50 Milioni • Washindi wengine watapata zawadi kuanzia TZS 10 Milioni hadi 30 Milioni Jumla ya washindi 1,020 watanufaika na mpango huu unaolenga kuibua ubunifu wa kuboresha mfumo wa kodi Tanzania

Official link:www.tra.go.tz

74 views

Opens the official application page in a new tab.

Share:WhatsAppTwitter/X

Share