← Back to Opportunities
UNA WAZO LA BIASHARA? HII NAFASI NI YAKO!
Competitions FeaturedExpired

UNA WAZO LA BIASHARA? HII NAFASI NI YAKO!

Deadline: May 1, 2026

About this opportunity

Ufaulu Project Tanzania inakuletea shindano la mawazo ya biashara kwa vijana wabunifu na wajasiriamali chipukizi, kwa ushirikiano na CRDB Bank Plc. Washiriki watapata nafasi ya kushinda hadi TZS milioni 5, pamoja na msaada wa kukuza na kuendeleza biashara zao. Jinsi ya kushiriki: ✔ Andaa maelezo ya wazo lako (kurasa ≤ 2) ✔ Rekodi video fupi (≤ dakika 2) ukielezea wazo lako Usikose nafasi hii ya kubadilisha wazo lako kuwa biashara halisi 🚀

Official link:forms.gle

13 views

Share:WhatsAppTwitter/X

Share