
UNA WAZO LA BIASHARA? HII NAFASI NI YAKO!
Deadline: May 1, 2026
About this opportunity
Ufaulu Project Tanzania inakuletea shindano la mawazo ya biashara kwa vijana wabunifu na wajasiriamali chipukizi, kwa ushirikiano na CRDB Bank Plc. Washiriki watapata nafasi ya kushinda hadi TZS milioni 5, pamoja na msaada wa kukuza na kuendeleza biashara zao. Jinsi ya kushiriki: ✔ Andaa maelezo ya wazo lako (kurasa ≤ 2) ✔ Rekodi video fupi (≤ dakika 2) ukielezea wazo lako Usikose nafasi hii ya kubadilisha wazo lako kuwa biashara halisi 🚀
Official link:forms.gle
11 views
Share
More Competitions

TRA INNOVATION CHALLENGE
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakaribisha Watanzania wote kushiriki katika msimu wa pili wa mashindano ya mawazo bunifu yatakayosaidia kuboresha huduma na mifumo ya kodi nchini. 💡 Tuma wazo lako kupitia tovuti ya TRA kwenye kipengele cha Innovation kabla ya Julai 31, 2026. 🏆 Zawadi: • Mawazo 1,000 yatakayofika hatua ya tathmini yatapata TZS 100,000 kila moja • Mshindi wa kwanza atajishindia hadi TZS 50 Milioni • Washindi wengine watapata zawadi kuanzia TZS 10 Milioni hadi 30 Milioni Jumla ya washindi 1,020 watanufaika na mpango huu unaolenga kuibua ubunifu wa kuboresha mfumo wa kodi Tanzania

START UP PITCH COMPETITION
Youth Innovation Foundation, in collaboration with the Global Fintech Council and Startup World Cup, invites startups and innovators to showcase their ideas before investors and industry leaders. 🔥 Why participate? ✅ Pitch your innovation to investors ✅ Gain international exposure ✅ Expand your network ✅ Accelerate your startup growth 📅 21st August 2026 📍 JNICC, Dar es Salaam

COSTECH
Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU)
The Ministry of Education, Science and Technology (MoEST) through the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) is supporting Tanzanian innovators to develop their innovative products to reach a stage of proven products for commercialization. The support is provided by conducting the national innovation competition known as "Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU)".