
Vijana Uchumi Challenge
Deadline: April 29, 2026
About this opportunity
Wana Wanafikiri, Taifa Linasonga" Shindano la wazo bora bunifu la Vijana juu ya kulinda na kukuza Uchumi wa Taifa kutokana na Changamoto Za Kimataifa. Wasilisha kupitia QR Code iliyopo kwenye Tangazo au link iliyopo kwmeye Bio ya @orvijana Kabla ya Tarehe 30 April 2026. Vigezo: -Kijana Mtanzania, miaka 15 - 35. -Maneno yasizidi 300. -Video au Sauti isizidi Dakika 3. -Wazo liwe bunifu, endelevu, Mshindi: Mshindi wa 1 - Milioni 30 Mshindi wa 2 - Miloni 15 Mishindi wa 3 - Milioni 5 Mawasiliano: 0717026509 #VijanaUchumiChallenge #Tanzania
Official link:forms.edodoso.gov.go.tz
49 views
Share
More Competitions

TRA INNOVATION CHALLENGE
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inawakaribisha Watanzania wote kushiriki katika msimu wa pili wa mashindano ya mawazo bunifu yatakayosaidia kuboresha huduma na mifumo ya kodi nchini. 💡 Tuma wazo lako kupitia tovuti ya TRA kwenye kipengele cha Innovation kabla ya Julai 31, 2026. 🏆 Zawadi: • Mawazo 1,000 yatakayofika hatua ya tathmini yatapata TZS 100,000 kila moja • Mshindi wa kwanza atajishindia hadi TZS 50 Milioni • Washindi wengine watapata zawadi kuanzia TZS 10 Milioni hadi 30 Milioni Jumla ya washindi 1,020 watanufaika na mpango huu unaolenga kuibua ubunifu wa kuboresha mfumo wa kodi Tanzania

START UP PITCH COMPETITION
Youth Innovation Foundation, in collaboration with the Global Fintech Council and Startup World Cup, invites startups and innovators to showcase their ideas before investors and industry leaders. 🔥 Why participate? ✅ Pitch your innovation to investors ✅ Gain international exposure ✅ Expand your network ✅ Accelerate your startup growth 📅 21st August 2026 📍 JNICC, Dar es Salaam

COSTECH
Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU)
The Ministry of Education, Science and Technology (MoEST) through the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) is supporting Tanzanian innovators to develop their innovative products to reach a stage of proven products for commercialization. The support is provided by conducting the national innovation competition known as "Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU)".