
Vijana Uchumi Challenge
Deadline: April 29, 2026
About this opportunity
Wana Wanafikiri, Taifa Linasonga" Shindano la wazo bora bunifu la Vijana juu ya kulinda na kukuza Uchumi wa Taifa kutokana na Changamoto Za Kimataifa. Wasilisha kupitia QR Code iliyopo kwenye Tangazo au link iliyopo kwmeye Bio ya @orvijana Kabla ya Tarehe 30 April 2026. Vigezo: -Kijana Mtanzania, miaka 15 - 35. -Maneno yasizidi 300. -Video au Sauti isizidi Dakika 3. -Wazo liwe bunifu, endelevu, Mshindi: Mshindi wa 1 - Milioni 30 Mshindi wa 2 - Miloni 15 Mishindi wa 3 - Milioni 5 Mawasiliano: 0717026509 #VijanaUchumiChallenge #Tanzania
Official link:forms.edodoso.gov.go.tz
49 views
Share
More Competitions

Bongo Brain Battle
Bongo Brain Battle (BBB) ni mashindano ya maswali ya maarifa ya jumla yanayowakutanisha watu katika timu ili kupima uelewa, kasi ya kufikiri, kumbukumbu na uwezo wa kushirikiana. (Bongo Brain Battle (BBB) is a fun, competitive general-knowledge quiz event that brings people together to test their knowledge, teamwork, speed and critical thinking.)

COSTECH
Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU)
The Ministry of Education, Science and Technology (MoEST) through the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) is supporting Tanzanian innovators to develop their innovative products to reach a stage of proven products for commercialization. The support is provided by conducting the national innovation competition known as "Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU)".