
CHUO MARKET YASHINDA NAFASI YA KWANZA UPANDE WA TWKNOLOJIA
About this opportunity
๐ข TAARIFA RASMI Safari ya ndoto inaendelea! ๐ Kupitia tukio la Nje Ya Box Youth Talk 2026 lililoandaliwa na Ufaulu Project, sisi ChuoMarket tumebarikiwa kushinda nafasi ya kwanza kama Wazo Bora la Kibiashara Kwenye Teknolojia ๐ Tunatoa shukrani za dhati kwa CRDB Foundation kwa kutupatia zawadi ya laptop mpya yenye thamani kubwa ambayo itatusaidia kuendelea kuimarisha upande wa teknolojia na ubunifu katika kujenga suluhisho kwa wanafunzi wa vyuo. ๐ปโจ Pia tunathamini uwepo wa Godfrey Massawe kutoka Ofisi ya Rais โ Maendeleo ya Vijana, aliyemwakilisha Dkt. Kedmon Elisha Mapana katika tamasha hili muhimu kwa vijana na ubunifu. Hii ni hatua nyingine kubwa kuelekea kujenga jukwaa bora la biashara na fursa kwa vijana wa vyuo Tanzania. Asanteni kwa kuamini maono yetu. ๐๐ฅ #ChuoMarket #NjeYaBoxYouthTalk2026 #Innovation #YouthEmpowerment #CRDBFoundation #Technology #StartupJourney
๐ Official link:www.instagram.com
8 views
Share
More News

MoU between Najali Group of Entreprise and ChuoMarket
On 12th January 2026, we officially signed an MoU between Najali Group of Enterprises and ChuoMarket. Through this partnership, Najali Pads will reach students faster, affordably, and with dignity via an innovative online marketplace. Together, weโre ending period poverty and advancing sustainable hygiene for all. #NajaliPads #ChuoMarket #EndPeriodPoverty #PartnershipForImpact #SustainableHygiene
View & Apply โ
CRDB FOUNDATION AND SMART ELITE INITIATIVE
CRDB Bank Foundation participated in the official launch of the Smart Elite Initiative, a strategic program held in Dar es Salaam aimed at preparing higher education students to compete effectively in the digital economy. The event was officiated by the Acting Managing Director of CRDB Bank, Fredrick Nshekanabo, alongside CRDB Bank Foundation Managing Director Tully Esther Mwambapa, and key partners including the Higher Education Studentsโ Loans Board (HESLB) and Basil Link. Through the initiative, HESLB beneficiaries will receive financial literacy training, entrepreneurship skills, and career preparation to enhance their competitiveness in the job market and digital economy. The Smart Elite Initiative reflects CRDB Bank Foundationโs continued commitment to youth empowerment and sustainable development through programs such as Go Green and iMbeju.
View & Apply โ
CRDB FOUNDATION AND VIJANA PLATFORM
CRDB Bank Foundation donated 12 fishing boats worth over TZS 100 million and six fish cages stocked with 60,000 fish fingerlings and eight months of fish feed valued at TZS 200 million during the launch of the Vijana Platform in Mwanza. The platform brings together youth entrepreneurs from various sectors to expand economic opportunities and support the growth of their businesses. The support was officially handed over by the Minister of State, Presidentโs Office โ Youth Development, Hon. Joel Arthur Nanauka, alongside CRDB Bank Foundationโs Managing Director, TullyEsther Mwambapa. Through its iMbeju Program, the Foundation continues to provide entrepreneurship training, financial literacy education, and enabling capital to youth, women, and special groups nationwide, with over one million beneficiaries already trained.
View & Apply โ